BEKI wa kati wa timu ya Mlandege, Raphael Charles 'Futakamba' amesema amejisikia furaha baada kufunga mabao mawili katika mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu Zanzibar dhidi ya JKU, huku ...
ILIPOISHIA Haukupita muda polisi wakafika. Nikaambiwa niende kituo cha polisi kuandikisha maelezo yangu kwa vile tulipotea na ...
Mara ya mwisho Simba kucheza kwenye Uwanja wa Kimataifa wa Bingu, iliibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Nyasa Big Bullets ...
ABIGAIL Anthony Chamungwana maarufu kama Abigail Chams au Abby Chams, mwaka 2026 ameendelea kuonyesha kwa nini anatajwa kuwa ...
Yaani kuna wakati sijui ndiyo huwa wanaamua kutrendi maana wanafanya vitu ambavyo kikawaida hutegemei kuona wakivifanya ...
KATI ya timu ambazo zinaumiza kichwa kuweka vizuri mikakati yao katika Ligi Kuu Bara ili kupata ushindi wa kwanza, TRA United ...
Wakati wimbo huo unaachiwa miaka 22 iliyopita tangu Agosti 13, 2004, mchekeshaji maarufu nchini Miraji Supakila 'Mkali Wenu' ...
KUFUZU hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika ni miongoni mwa mitihani migumu zaidi katika soka la klabu Afrika, huku ...
KATIKA historia ya soka la Tanzania, si mabao, ushindi na vikombe pekee vilivyoacha kumbukumbu kubwa kwa mashabiki.
YANGA leo usiku itafanya mazoezi yake ya mwisho kabla ya kesho Jumamosi usiku kuanza hesabu zake za kwanza kwenye anga la ...
LIGI Kuu Bara msimu wa 2026/27 inaendelea kwa kasi na wiki hii timu nyingi zitakuwa zinacheza mechi zake za sita huku ushindani ukiendelea kuwa mkubwa kuanzia timu, wachezaji na hata ...
MWAKA 2026 umeendelea kuandikwa kwa matukio mbalimbali katika ulimwengu wa burudani, lakini safari za uzazi za baadhi ya ...