Klabu ya Yanga ya nchini Tanzania imeandika rekodi mpya ya kucheza mechi mfululizo za Ligi Kuu nchini humo bila kupoteza, ikifikisha michezo 49,rekodi ambayo haijawahi kufikiwa na klabu nyingine ...
Ligi kuu ya Tanzania bara msimu wa 2024/25 imehitimishwa kwa namna isiyo ya kawaida. Yanga SC, klabu yenye historia kubwa na ushawishi mpana katika soka la Tanzania, imetwaa ubingwa wake wa nne ...
Dar es salaam, Tanzania – Sakata la Simba kuzuiwa kufanya mazoezi yake ya mwisho na mabaunsa na maafisa wanaoaminika kuwa wa Yanga katika uwanja wa Mkapa siku ya Ijumaa usiku, lilipelekea debi hiyo ...
Mashabiki wa Simba wameanza kujinasibu kuwa safari hii ni ya kufuta uteja, wakikumbushia maumivu ya kupoteza michezo sita mfululizo dhidi ya watani wao wa jadi na mashabiki wa Yanga nao wanaonekana ...
Msemaji wa klabu ya Simba Ahmed Ally, amesema walilenga kuidhalilisha Yanga kwa kuwafunga, kwa sababu ya maandalizi mazuri waliyofanya, kuelekea dabi hiyo ya Kariakoo. “Tumeonesha kiwang cha juu cha ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results